Ama kwa hakika kesho tuna kwenda kusheherekea miaka 48 ya uhuru ivyo nawatakia watanzania wote siku njema ya kesho na iwe ya amani na usalama kwa wote kwani na hakika kila mmoja atakuwa na uhuru wa kufanya jambo analolitarajia kwa kesho, mimi, wewe, na yule tusikose kukutana pale katika uwanja wa uhuru kuanzia saa 06:00 asubui Lango litakuwa wazi kwaajili ya wanchi kuingia na kuweza kushuhudia kwa umakini kwa kinachoendelea.
WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA SLOVAKIA AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Masuala ya Ulaya wa Jamhuri ya Slovakia, Mhe.
Juraj BlanĂ¡r, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi kuanzia Juni 10 hadi 11,
2026,...
1 day ago


No comments:
Post a Comment